WanaJF, nimesoma kwenye gazeti la mwananchi leo kuwa humumu ya Prof. Mahulu ile ya jengo la ubalozi wa Italy ni leo. vipi kuna mwenye update?
WanaJF, nimesoma kwenye gazeti la mwananchi leo kuwa humumu ya Prof. Mahulu ile ya jengo la ubalozi wa Italy ni leo. vipi kuna mwenye update?
[h=3]Update-Kesi Ya Profesa Mahalu Imeahirishwa[/h]
Hukumu ya Kesi inayomkabili aliyekuwa balozi wa Tanzania nchia Italia Profesa Costa Mahalu imeahirishwa mpaka tarehe 9 mwezi ujao
Itakuwa inaandikiwa magogoni...Au jaji kasahau kuandika hukumu!