Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,280
- 4,730
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavo sema aidha nimefurahishwa sana na hukumu ya yule mwalimu japo wangempa kifungo cha maisha tu ingekaa sawa kabsa, halaf walimu waliokuwepo kwenye eneo la tukio wangechukuliwa hatua zakinidhamu sababu walishindwaje kuzuia mtoto kuuliwa tena kifo cha kikatili kabsa ningekua mm ningewastopisha na hatua zakinidhamu zichukuliwe, na mwalimu wakike angepewa naye miaka michache jela ni hayo tu inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app