Hukumu 2shaijua jana sii kama ile ya lema then hakimu alikuwa awe fair kwani 2me ya uchaguzi ilikuwa ya kwao so kuwanyang'anya ubunge cdm ni uonevu,WALIPOONA SUMBAWANGA HUKUMU IMEKULA KWAO WAMEONA WAEQUALIZE,SIJUI MAHAKAMA ZETU HATMA YAKE.maskini Mbasa.. maskini chadema..hukumu inaamuliwa kusoma upepo wa maeneo mengine.