Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

mahakama inamaliza kazi saa ngapi! Au biharamulo wapo latitude nyingine sawa na masaa ya Hongkong?
 

Vp huko hukumu bado cz hv sasa ni saa 9 mchana......Pls tupe updated news kwa kinachoendelea huko Biharamulo....!!!
 
Vp huko hukumu bado cz hv sasa ni saa 9 mchana......Pls tupe updated news kwa kinachoendelea huko Biharamulo....!!!

am tired of refreshin the page for updates which are not even made available by the people at the scene!
 
Kesi Imeahirishwa kutoka saa 7 : 00 hadi saa 9 :00 sijui kuna mpango gani ilikuwa saa 5 ikawa saa7 na sasa naambiwa ni saa 9!!!

My take: Baada ya Sumbawanga imebidi jaji abadilishe hukumu, ndo maana ameongezewa muda aweze kukamilisha
 
Nimefanikiwa kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyepo maeneo ya kortini, amesema wameambiwa kuwa muda umesogezwa mbele hadi saa 10 jioni ndipo hukumu itaanza kusomwa. Hana details zaidi. Lets wait.
 
Duuu asije akawa anachakachua hukumu huyo asome haraka
 
Vp huko hukumu bado cz hv sasa ni saa 9 mchana......Pls tupe updated news kwa kinachoendelea huko Biharamulo....!!!


Haiwezekani ikawa hakuna jf members wenye access ya mtandao nafikiri hiki kimya kina kishindo wakuu!*
 
Nimefanikiwa kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyepo maeneo ya kortini, amesema wameambiwa kuwa muda umesogezwa mbele hadi saa 10 jioni ndipo hukumu itaanza kusomwa. Hana details zaidi. Lets wait.

dah, sasa naacha ku-refresh. ngoja nichek jukwaa la siasa kama kuna inshu inabamba.
 
Huyu jamaa asije akawa kama yule wa ijumaa, alianzisha mambo ya sumbawanga, akasema CCM wameshinda kumbe hukumu yenyewe ilikuwa bado
 
Hakuna kitu, in short ni kwamba hukumu ikisomwa leo lazima imechakachuliwa na CDM msitegemee kitu, wanajua leo mna furaha ya s'wanga so hakuna atakaefeel pinch kubwa kwa biharamulo. Watch out though its just insinuation tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…