Don't comment unless u are well informed. Mkuu wala hakuna mkoa wa CHATO kamanda. Biharamulo haiko mkoa huo na haijawahi kuwa mkoa mwingine zaidi ya KAGERA tangu Yesu apae kwenda Mbinguni. Chato iko mkoa mpya wa Geita na zamani ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo. Na lilikuwa jimbo mwaka 1995 lilipotajwa kuwa JIMBO LA BIHARAMULO MASHARIKI. Ni kujaribu kurekebishana ili kuweka kumbukumbu sawa.
UPDATES: Hukumu bado inasomwa na nimepata taarifa hii kutoka kwa jamaa angu ambaye yuko ndani ya mahakama, alitoka tu kunijuza na amerudi, simu kazima tena na anasema jamaa anasoma hukumu taratibu sana na anapangua baadhi ya hoja!!!!!!
Mtajuzwa tu wakuu!!!!!