Hivi unafahamu wewe Manyanza kwamba ni mtu mzima!!?? sasa ni mambo gani haya unafanya?
Nasikia Sumbawanga CCM chali
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
Bora tujuzeni maana imani na mahakama hatuna.
Hivi unafahamu wewe Manyanza kwamba ni mtu mzima!!?? sasa ni mambo gani haya unafanya?
Bora tujuzeni maana imani na mahakama hatuna.
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.