Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mahakama Kuu kanda ya Arusha leo itatoa uamuzi kama CHADEMA watakuwa na Kesi ya Kujibu, kuhusiana na kesi waliyofunguliwa viongozi wa Kitaifa wa chama hicho akiwemo Freeman Mbowe, Dr. Slaa, Ndesapesa, Selasini, Kamanda Lema na wengineo.
tutawajulisha kitakachoendelea...
tutawajulisha kitakachoendelea...