Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Kabla ya hukumu ya kesi kuanza,hakimu aliwatazama mawakili wawili wa kambi pinzani,akasema,"nimepewa rushwa na nyinyi wote"."mawakili wote wakapigwa na butwaa".Hakimu akaendelea,"Bwana Leon umenipa milioni 1.5 na wewe Campos umenipa milioni 1.Hakimu akaingiza mkono mfukoni,akatoa cheque ya milioni 5 na kumpa Leon....Sasa nina milioni 1 ya Leon na milioni 1 Campos,nadhani hukumu itakwenda kwa haki!