Hukumu ya Ado Shaibu Vs Magufuli kesho

Ado Shaibu

Member
Jul 3, 2010
99
108
Mahakama Kuu ya TZ Chini ya Jaji Kiongozi Dk. Feleshi kesho tarehe 20 Sept ( Saa 7.00 Mchana) inatarajia kutoa hukumu ndogo (Ruling) khs mapingamizi yaliyowekwa na Serikali kwenye kesi ya Ado Shaibu Vs. John Pombe Magufuli & Others kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi.

Pamoja na mambo mengine, upande wa serikali unaomba kesi hii ifutwe kwa kile inachoona kuwa haijazingatia matakwa ya kikatiba na kisheria ya kinga ya Rais kutoshtakiwa.

Zaidi pitia mapingamizi hapa chini:
IMG-20190919-WA0782~2.jpeg
IMG-20190919-WA0783.jpeg
 
Mahakama ziko mifukoni mwa nduli na dikteta wa chato hivyo kesi kama hii dhidi ya dikteta ushindi sahau kabisa labda kama huyo hakimu hajipendi.

Mahakama Kuu ya TZ Chini ya Jaji Kiongozi Dk. Feleshi kesho tarehe 20 Sept ( Saa 7.00 Mchana) inatarajia kutoa hukumu ndogo (Ruling) khs mapingamizi yaliyowekwa na Serikali kwenye kesi ya Ado Shaibu Vs. John Pombe Magufuli & Others kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi.

Pamoja na mambo mengine, upande wa serikali unaomba kesi hii ifutwe kwa kile inachoona kuwa haijazingatia matakwa ya kikatiba na kisheria ya kinga ya Rais kutoshtakiwa.

Zaidi pitia mapingamizi hapa chini:
View attachment 1211691View attachment 1211692
 
Mahakama ziko mifukoni mwa nduli na dikteta wa chato hivyo kesi kama hii dhidi ya dikteta ushindi sahau kabisa labda kama huyo hakimu hajipendi.
Kweli aisee, maana mifumo tuliyonayo inauwezo wa kulinda maslahi ya mtu zaidi kuliko maslahi ya Taifa!.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kabisa Mkuu na hii mifumo imeligharimu na inaendelea kuligharimu Taifa letu kwa kiwango cha juu kabisa na kwa miaka mingi.

Kweli aisee, maana mifumo tuliyonayo inauwezo wa kulinda maslahi ya mtu zaidi kuliko maslahi ya Taifa!.
 
Mahakama Kuu ya TZ Chini ya Jaji Kiongozi Dk. Feleshi kesho tarehe 20 Sept ( Saa 7.00 Mchana) inatarajia kutoa hukumu ndogo (Ruling) khs mapingamizi yaliyowekwa na Serikali kwenye kesi ya Ado Shaibu Vs. John Pombe Magufuli & Others kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi.

Pamoja na mambo mengine, upande wa serikali unaomba kesi hii ifutwe kwa kile inachoona kuwa haijazingatia matakwa ya kikatiba na kisheria ya kinga ya Rais kutoshtakiwa.

Zaidi pitia mapingamizi hapa chini:
View attachment 1211691View attachment 1211692
Ujinga uliopo kwenye hii kesi hautofautiani na ujinga wa kesi ya Tundu kudai alikuwa mahututi ubelgiji hadi akashindwa kumtumia hata sms boss wake kumjulisha yupo wapi, wakati utube tukimuona akitetea mashoga.
 
vexatious | vekˈsāSHəs | adjective causing or tending to cause annoyance, frustration, or worry: the vexatious questions posed by software copyrights. • Law denoting an action or the bringer of an action that is brought without sufficient grounds for winning, purely to cause annoyance to the defendant.
 
Hoja yao Ni ya msingi kwakuwa inatakwakwa la kikatiba.

Katiba iko wazi kuwa Rais hastakiwi hivyo kesi itaondolewa.
 
Pamoja na mambo mengine, upande wa serikali unaomba kesi hii ifutwe kwa kile inachoona kuwa haijazingatia matakwa ya kikatiba na kisheria ya kinga ya Rais kutoshtakiwa.

Aliyetunga/ waliotunga hiki kipengele cha katiba na hiyo sheria walikuwa sawasawa kweli? Na wanao enzi hizo sheria wapo sawasawa kweli?
 
Na
Ni kujidhalilisha au wao wanatumia katiba na sheria.

Iko wazi kwenye katiba, Rais hashtakiwi. Sasa hapo Mahakama itakuwa imekosea wapi.

Tuanze na kesi ya kuondoa kifungu Cha kutoshtakiwa.
Na mnapobinuaga pua hakuna aliye juu ya Sheria. mnamaanishaga nini?
 
Back
Top Bottom