Hukumu ya Ado Shaibu Vs Magufuli kesho

Hukumu ya Ado Shaibu Vs Magufuli kesho

Asante kwa taarifa hii, tunafuatilia kwa karibu kesi hii ya kikatiba.
P
 
Ujinga uliopo kwenye hii kesi hautofautiani na ujinga wa kesi ya Tundu kudai alikuwa mahututi ubelgiji hadi akashindwa kumtumia hata sms boss wake kumjulisha yupo wapi, wakati utube tukimuona akitetea mashoga.
Lakini wakati wote huo spika kumlipa mshahara bila kujua yupo wapi!!!!!
 
Lakini wakati wote huo spika kumlipa mshahara bila kujua yupo wapi!!!!!
Huyu spika naye inabidi aturudishie hizo hela. Kuna kipindi aliamua kusitisha kimyakimya. "mahututi" wetu alipoona account haisomi uliona alivochomoka kitandani alikokuwa amelazwa na kutoa mapovu utadhani zile plastic bullets ziliinjure brain cells na sio mguu.
 
Dunia mapto ipo cku utayajutia haya uyatamkayo
Huyu spika naye inabidi aturudishie hizo hela. Kuna kipindi aliamua kusitisha kimyakimya. "mahututi" wetu alipoona account haisomi uliona alivochomoka kitandani alikokuwa amelazwa na kutoa mapovu utadhani zile plastic bullets ziliinjure brain cells na sio mguu.
 
Mahakama Kuu ya TZ Chini ya Jaji Kiongozi Dk. Feleshi kesho tarehe 20 Sept ( Saa 7.00 Mchana) inatarajia kutoa hukumu ndogo (Ruling) khs mapingamizi yaliyowekwa na Serikali kwenye kesi ya Ado Shaibu Vs. John Pombe Magufuli & Others kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi.

Pamoja na mambo mengine, upande wa serikali unaomba kesi hii ifutwe kwa kile inachoona kuwa haijazingatia matakwa ya kikatiba na kisheria ya kinga ya Rais kutoshtakiwa.

Zaidi pitia mapingamizi hapa chini:
View attachment 1211691View attachment 1211692


Ado njoo utupe update nn kimeamuliwa huko mahakamani leo?
 
Jaji Ngosha. Mshitakiwa Ngosha.
Bado mnasubiri hukumu ipi?
 
Halafu kwa hizi mahakama ndio tutarajie kuna mwekezaji atakubali mashauri yake yaamuliwe na mahakama za Tanzania?
 
Back
Top Bottom