KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Tunasubiri Mkuu Japo Mwajiri lazima ataibuliwa kidedea as Usual....Ndiyo maana JK jana alisema tusubiri kesho.Mgomo haukuwa halali na kwa amri ya mahakama walimu wote watakiwa kurudi kazi bila masharti yoyote.Ni mtizamo/wazo:loco: tu wadau!
Confirmed....raba stamp