Niko hapa maeneo ya Naaz Hotel Arusha karibu na Clock Tower naona kila muda wa dakika 10 Landrover zinapita zikiwa zimesheheni vijana wa Saidi Mwema, na pia nilipata muda wakupita maeneo ya Central Polisi Mkoa naona kuna Paredi jamaa wanafanya mazoezi kwenye Mvua! Nitaendelea kuwapa UpDates!