Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
anapima kati ya msosi na ndude ipi tamu.just a research.
anapima kati ya msosi na ndude ipi tamu.just a research.
wakati kangaroo kakamatia goma kabisa....anananihii nini??? kangaroo ana mbeleko tumboni mwake, hapo alikuwa anamchopoa mtoto wake aende kuoga! you dirty mind Boflooooo unamsingizia kangarooooo wa watu bure!
nikiiangalia hii picha wanayopigana naona uchungu sana maana huyo mmoja anaonekana kuzidiwa sana, kwa inavyoonekana mwenzie anamchojoa nguo moja baada ya nyingine naye ndo kazinduka baada ya kuona papa yupo karibu kuhutubia kadamnasi.wadada wanasikitisha kweli.Wankula huu....
View attachment 61589
nikiiangalia hii picha wanayopigana naona uchungu sana maana huyo mmoja anaonekana kuzidiwa sana, kwa inavyoonekana mwenzie anamchojoa nguo moja baada ya nyingine naye ndo kazinduka baada ya kuona papa yupo karibu kuhutubia kadamnasi.wadada wanasikitisha kweli.