Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,280
- 71,103
- Thread starter
- #141
Wanalindana kuna watu hawakupaswa kuendelea kuwepo kwenye vyeo kwa yanayoendeleaBwawa lina mpasuko,tayari kipara nae kashatimkia wizara nyingine huko baada ya makorokocho kibao.