Hata makomando hufa kwaajili ya kutunza Siri za taifa!.. hiyo ni ajali kazini 😂😜Mwenzake mwingine huyu hapa. Mwishowe mtakuja kuvunjika.
View attachment 1241538
Hahahaaa. Ila mmezidi bwana.Hata makomando hufa kwaajili ya kutunza Siri za taifa!.. hiyo ni ajali kazini 😂😜
Mana huezi ona Ke anafanya haya mnayoyafanya.Hata makomando hufa kwaajili ya kutunza Siri za taifa!.. hiyo ni ajali kazini 😂😜
Kuumbe!!!!Zile tendegu mbili zinazoning'inia ndo zinatufanya tuwe hivyo.. hichi ni kile ambacho nyie hamna na huo ndo uthibitisho kuwa sisi tunacho😜