Ukiuliza utaambiwa wale ni wanajesshi wamejiandaa kwa hali yeyote mvua na jua....kwanza hawana sehemu ya kukaa maana wako 1000...na uwanja umeshajaa pomoni...
Mvua ilipozidi kuendelea huku watoto wamekaa chini, kwa kwa nini JK, kama Amiri Jeshi Mkuu asitoe agizo la kusitisha shughuli ile iliyobakia (ile ya ngoma) ili kuwanusuru watoto? Hivi kweli mtu huyu ana huruma ya viumbe hawa? Inavyoonekana huruma yake kubwa huionyesha kwa mafisadi tu siyo kwa binadamu wengine.