Hivi unanijiua MIMI ni nani ?
Hivi hunijui kweli? Sasa subiri nikaja kuambia nitumie pesa , then usitume !
Ndiyo utakaponitambua
wapendwa mpo humu ndani.... waswahili walisema Kuku mgeni Hakosi kamba mguuni.
Mi mgeni bana
Ha ha ha! Huo mkwara si utamkimbiza mgeni?
Karibu ila kaa mbali na my
mume mkiva hata akikusalimia usiitike pita
mbali sawa? Ndoa yangu bado changa! we mi DUME LA MBEGU ivi kumbe humu kila mna wake zenu mmmmh iyo nzuri na nataka nipate humu aisee
hahaaaaa, watu wa humu wana mikwala?