Nasikia kuwa nazo zimefungiwa na TRA kwa maana hazina EFPP.Hii bia matata ya mwendokasi ambayo imekuja kwa kasi ya hatari ndani ya muda mchache na kututeka wadau ghafla imeadimika mtaani.
Unaweza ukazunguka zaidi ya bar tani usikute kabisa, Je ni huku kwetu tu? Huki kwenu wadau hali ipoje?
Upo wapi mkuu?Hii bia matata ya mwendokasi ambayo imekuja kwa kasi ya hatari ndani ya muda mchache na kututeka wadau ghafla imeadimika mtaani.
Unaweza ukazunguka zaidi ya bar tani usikute kabisa, Je ni huku kwetu tu? Huki kwenu wadau hali ipoje?
Uzalishaji naona haupo vizuri kila sehemu inasumbua mkuu.Hii bia matata ya mwendokasi ambayo imekuja kwa kasi ya hatari ndani ya muda mchache na kututeka wadau ghafla imeadimika mtaani.
Unaweza ukazunguka zaidi ya bar tani usikute kabisa, Je ni huku kwetu tu? Huki kwenu wadau hali ipoje?
Acha upotoshaji mkuu. Bia hazijafungiwa na TRA... Huenda Demand imezid Supply ktk eneo alilopo mtoa mada... Huku kwetu zinapatikana kama kawa ila zimeshika mbaya!!!Nasikia kuwa nazo zimefungiwa na TRA kwa maana hazina EFPP.
Me kimachonishangaza ni hizi Serengeti lager za dar unakuta bia imetengenezwa Jana kesho unakunywa naona kama ladha ni tofauti na za mikoani
Mbona umeshtuka kusikia zimefungiwa na TRA? Msijali kimea kimechelewa kuchachuka kwaajili ya hali ya hewa, mpaka mwishoni mwa mwezi huu tutarudi kwenye supply kama kawa.Acha upotoshaji mkuu. Bia hazijafungiwa na TRA... Huenda Demand imezid Supply ktk eneo alilopo mtoa mada... Huku kwetu zinapatikana kama kawa ila zimeshika mbaya!!!