Wakuu , ningependa kufahamu huko mlipo kama mnaipata youtube. Naona wadau mbali mbali wanalalamika haifunguki, na nimethibitisha ila ukiweka VPN inafunguka kama kawaida.
Ni nini kinaendelea ?
Kwa hyo SA100 n Magufuli asiye na maneno tu ila matendo sawaUko sahihi, ni Giza!
Mamwela watakuwa wana test mitambo.
Eti wanatuhurumia, tusipate katiba mpya!
Mama ameanza kutucharaza bakora ?
Kwa hyo SA100 n Magufuli asiye na maneno tu ila matendo sawa
Hizi ishu mzee mwenzangu unakuwa kama mgeni, huwa hazitolewi tamko...ndio imeisha hiyo🤣Labda ana test mitambo tusubiri tamko la tcra vinginevyo tunadai fudia hii Mitandao. Wengine tunanunua bando kuangalia mambo ya akina Nalimison tu. Hivyo wametusababishia usumbufu mkubwa.
Hizi ishu mzee mwenzangu unakuwa kama mgeni, huwa hazitolewi tamko...ndio imeisha hiyo🤣
Imezingua sana leoWakuu , ningependa kufahamu huko mlipo kama mnaipata youtube. Naona wadau mbali mbali wanalalamika haifunguki, na nimethibitisha ila ukiweka VPN inafunguka kama kawaida.
Ni nini kinaendelea ?
Kweli kabisa haipatikani. Labda imezimwaWakuu , ningependa kufahamu huko mlipo kama mnaipata youtube. Naona wadau mbali mbali wanalalamika haifunguki, na nimethibitisha ila ukiweka VPN inafunguka kama kawaida.
Ni nini kinaendelea ?