Huko Indonesia

Huko Indonesia

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
83
Jamaa alisafiri kwa wiki 2,akawasahau mbwa wake kuwaachia mpishi.aliporudi kati ya mbwa 9 ,wawili walishaliwa na wenzao na aafuataye akawa yeye MWENYE MBWA..Ni eneo maarufu kwa spicy za panya pori,mbwa na popo
 
hii ni story ya kweli, kwenye yahoo waliweka news kuwa mzee mmoja huko indonesia alikutwa kaliwa na mbwa wake baada ya kutoka safari. Mbwa walikuwa na njaa kali ya takribani wiki mbili.
 
Back
Top Bottom