kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
wakuu nimemaliza kuangalia taarifa ya habari ya saa nne asubuhi katika kituo hiki cha televisheni,nilitegemea habari ya kwanza ihusu uchaguzi wa igunga,lakini hakuna habari yoyote iliyorushwa kuhusu igunga.watanzania tunanyimwa haki ya kuhabarishwa sijui kwa maslahi ya nani?
Jk katika mambo muhimu ya mwisho wa mwezi 9 ameongelea kuhusu uchaguzi wa igunga iweje chombo cha habari kama star t.v isituhabarishe kuhusu uchaguzi huu??TCRA na baraza la habari najua mpo humu jamvini fungia vyombo vya habari feki kama hivi.
nawasilisha.
Updates:kwa sasa wanaleta matangazo kutoka igunga kwa awamu ingawa watangazaji wanaonekana kuhadaa umma kwamba watu hawajajitokeza kwa wingi,wanasahau watu waliofika kwenye vituo vya kupigia kura halafu wakakosa majina yao katika vituo hivyo.
Jk katika mambo muhimu ya mwisho wa mwezi 9 ameongelea kuhusu uchaguzi wa igunga iweje chombo cha habari kama star t.v isituhabarishe kuhusu uchaguzi huu??TCRA na baraza la habari najua mpo humu jamvini fungia vyombo vya habari feki kama hivi.
nawasilisha.
Updates:kwa sasa wanaleta matangazo kutoka igunga kwa awamu ingawa watangazaji wanaonekana kuhadaa umma kwamba watu hawajajitokeza kwa wingi,wanasahau watu waliofika kwenye vituo vya kupigia kura halafu wakakosa majina yao katika vituo hivyo.