lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,205
Robo ya pesa za yale majizi ya Escrow zingetosha kumaliza hili tatizo zima.
Pale hawawezi kumpa mtu binafsi kuna hela nyingi sana sasa wakipagawa watapigaje dili. Wanachoudhi ni kuyaweka maisha ya abiria hatarini wangejitahidi kulifanyia service kila wakati na kuboresha huduma zaoSuluhisho ni dogo tu!! Ferry ya kuvuka inahitaji kubinafsisha sector hiyo !! Waje wawekezaji kadri ya kukidhi haja ya wasafiri...
yaani wasafiri 1000 kwa pantoni 5 hadi 10 zichuana hapo !! na kila idadi ikiongezeka pantoni ziongezwe !! Ndo tutaendelea, Kwani mteja (msafiri) ni mfalme, Na ni haki yake kusave time yake " time is money "
The Fixer Barasu KATIBUA The Boss
Kuna taizo kubwa mkuu sijui hao wahusika hawaoni hili, halafu likitokea la kutokea wa kwanza kutoa pole eee Mungu tuepushe na balaaHapo lilizimika karibu masaa matatu ilipelekea Gari la wagonjwa kupita Daraja jipya ili kuwahi dharula hiyo
Nimefuatilia comments za watu wengi humu nakugundua kuwa, asilimia kubwa imeelekeza lawama kwa serikali. Hakuna aliekuja na ushauri kwa serikali nini ifanye. Watz tuwe na utaratibu wa kujitolea kwa taifa letu na sio kulaumu serikali muda wote. Mtoa mada ulitakiwa uweke wazi njia wanazotumia kuibia mafuta na sio kulaumu inakuwa hujasaidia kitu bali umekubali kuendelea kuteseka ukisubiri serikali ije ikufanyie uchunguzi huo.
Mkuu hili wazo wakulu hawawezi kukubali labda UKAWA wakiingia magogoni.Pale kuna tiketi fake balaa!Kwa vile majitu yenyewe ya kigamboni ni mazwazwa acha waendelee kupigwa tu siku wakizama pale ndio wata pata akili ya kuandamana hadi mlangoni kwa mkulu ikizingatia pale si umbali mrefu.
Maneno yako muwafaka kbs, Sasa wajua Ajira zaidi mara dufu kama watashirikisha kampuni..... Yaani insurace,security,maintenance,marine,nk,nk !! Abiria watalipa na maendeleo yatapatika..!Pale hawawezi kumpa mtu binafsi kuna hela nyingi sana sasa wakipagawa watapigaje dili. Wanachoudhi ni kuyaweka maisha ya abiria hatarini wangejitahidi kulifanyia service kila wakati na kuboresha huduma zao
Hivi usalama mle upoje? life jacket na maboya yanakidhi idadi?
Samahani! ule mpango wa daraja umeishia wapi?
Hata mimi sijaelewa?
Wanaiba mafuta wanapeleka wapi?
Kukaangia changu
yaani hawa jamaa wanafanya kazi kama wamelazimishwa vile, kuanzia wakata tiketi, hao waongoza magari, na hata hao waendesha hayo mapantoni - jamaa wanafanya kazi ki - analogia kabisa. ni kweli wanakera.Wadau,
Ipo haja ya Mamlaka husika kuingilia kati swala la kivuko hapa kigamboni, Round trip la hili pantoni kubwa siku hizi dakika 50 badala ya dakika 25.
Pantoni linatembea na injini 2 badala ya 4. Mafuta yanauzwa tu juu kwa juu, Mkuu Mwakyembe najua unapitia hapa na kama utakuwa hujaona lakini najua Vijana wako watakuletea hizi taarifa.
Wizi wa mafuta kwenye hizi pantoni zimezidi
Kivuko cha MV Magogoni tunavyokiona wakazi wa kigamboni, hakistahili kufanya kazi za kusafirisha abiria. mara nyingi kinapoteza mwelekeo, na hata kushindwa kupaki kwenye gati lake. Viongozi wapo na tatizo la kivuko hiki naamin wanlijua bado wako kimya wanasubili maafa yatokee waje na matamko na uundaji wa kati za uchunguzi. Mh. Magufuri tunakuomba uelekeze macho yako kwenye hiki kivuko. kama ulivofanya wakati wa kupandisha nauli na kuwataka wasioweza kulipa 200/= wapige mbizi. ile nguvu uliyotumia wakati ule tumia nguvu hiyo tena tupate kivuko kipya. usikae kimya kusubili maafa yatokee ndio uje na matamko, na kuunda tume za kuchunguza maafa.
Kama serikali haiwezi kukarabati fine Mruhusuni Bakhresa atoe huduma kwa wananchi wa Kigamboni.