Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Hii ni hujuma kubwa sana. Ndalichako aseme shule za bara alizozikagua kwa Soft ware yake zipo ngapi? Je St. Mathew ilikaguliwa? Angalieni Biology paper 2 majibu ya watahiniwa hasa michoro.
- Kwenye Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2011, shule nyingi zilizofungiwa ni za Kiislamu. Mfano Shule zote zilizofungiwa Tanga ni za Kiislamu pekee.
- Mtihani wa Kidato cha Nne 2011, Shule zilizofungiwa pia za Kiislamu. Wazanzibar zaidi ya 3000 walifungiwa. Jumla ya waliofungiwa ni 4000 Tanzania nzima.
Hii ilifukiwa.
- Sasa umekuja Mtihani wa Kidato cha Sita. Kawafyeka Waislamu na Kuwapa 70% F. Walivyolalamika wamefaulu kwa 70%.
- Kaajiri Mchungaji kushughulikia Bible Knowledge. Islamic kampa mtu asiyejua hata kusoma Herufi ya Kiarabu. Huu ni uhuni.
- Waislamu na Watanzania Amkeni.
Mengine tutayataja.
Wewe kilaza mbona hujaoanisha title na mada?? Rudi shule au kwa akili hizi ulidhani NECTA wangekupa A?? Form four failure kaazi kweli kweli ....MODS...Jukwaa linapoteza maana sidhani kama kuna haja ya kuacha ***** kama huu jukwaani..Hata waislamu wa kweli wanakushangaa..