wanajamvi kwa mara nyingine naomba mchango wenu kimawazo. Kuanzia jtatu wiki hii nasikia maumivu makari sana upande mmoja wa shavu like shoti ya umeme au kama vile moto unaniunguza.
Nimetembelea vituo vya afya na wamenipa dawa lakini sioni nafuu. Swali langu kwenu wenyeufahamu na tatizo hili-
nini kifanyike ili kuondokana na hili tatizo, au ni wapi naweza pata uhakika wa matibabu sahii.
Natanguriza shukrani. Kweli natabika make kula hata kuongea kwangu sasa ni mateso makubwa. Weekend jema...
Nimetembelea vituo vya afya na wamenipa dawa lakini sioni nafuu. Swali langu kwenu wenyeufahamu na tatizo hili-
nini kifanyike ili kuondokana na hili tatizo, au ni wapi naweza pata uhakika wa matibabu sahii.
Natanguriza shukrani. Kweli natabika make kula hata kuongea kwangu sasa ni mateso makubwa. Weekend jema...