Huenda litakujenga

bartaizo

JF-Expert Member
Jun 19, 2013
236
86
*INAMAANA GAN?*

watu watatu walipata *ajali* ya gari na hawakujitambua kabisa. Raia mwema akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu *kwa msaada* bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na *simu 6* lakin zote zilikuwa na _*PASSWORD.*_ Mwisho wa wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimae wakafariki wote.
.
.
*Mama Mjamzito* alianguka ghafla nyumban kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie *baba yake* kwa msaada zaidi, kwa bahati mbaya simu ilikuwa na _*PASSWORD*_ yule akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho *akapoteza maisha.*
.
.
*Nani mwenye makosa?*

*USHAURI*.

Wewe una *thamani* sana kuliko *taarifa* unazoziwekea usalama katika simu.

Weka _*PASSWORD*_ katika _*WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k*_

Acha upande wa *Phonebook* na *Calls* bila *_PASSWORD,_* siku moja yawezekana ukaokoa *maisha* yako au ya wapendwa wako.

*_PASSWORD_* katika simu yako yaweza pelekea *umauti* wako.

*Fikiria mara mbili...............amonationTZ‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Haya ni marudio ilishapostiwa huku..kabla ya kupost chochote uwe unasearch kwanza..unaweza ukapost halafu thread yako ikaunganishwa na thread nyingine ukaja kuwalaumu moderators wa JamiiForums bure
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom