bartaizo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 236
- 86
*INAMAANA GAN?*
watu watatu walipata *ajali* ya gari na hawakujitambua kabisa. Raia mwema akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu *kwa msaada* bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na *simu 6* lakin zote zilikuwa na _*PASSWORD.*_ Mwisho wa wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimae wakafariki wote.
.
.
*Mama Mjamzito* alianguka ghafla nyumban kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie *baba yake* kwa msaada zaidi, kwa bahati mbaya simu ilikuwa na _*PASSWORD*_ yule akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho *akapoteza maisha.*
.
.
*Nani mwenye makosa?*
*USHAURI*.
Wewe una *thamani* sana kuliko *taarifa* unazoziwekea usalama katika simu.
Weka _*PASSWORD*_ katika _*WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k*_
Acha upande wa *Phonebook* na *Calls* bila *_PASSWORD,_* siku moja yawezekana ukaokoa *maisha* yako au ya wapendwa wako.
*_PASSWORD_* katika simu yako yaweza pelekea *umauti* wako.
*Fikiria mara mbili...............amonationTZ♂♂♂♂♂
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
watu watatu walipata *ajali* ya gari na hawakujitambua kabisa. Raia mwema akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu *kwa msaada* bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na *simu 6* lakin zote zilikuwa na _*PASSWORD.*_ Mwisho wa wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimae wakafariki wote.
.
.
*Mama Mjamzito* alianguka ghafla nyumban kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie *baba yake* kwa msaada zaidi, kwa bahati mbaya simu ilikuwa na _*PASSWORD*_ yule akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho *akapoteza maisha.*
.
.
*Nani mwenye makosa?*
*USHAURI*.
Wewe una *thamani* sana kuliko *taarifa* unazoziwekea usalama katika simu.
Weka _*PASSWORD*_ katika _*WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k*_
Acha upande wa *Phonebook* na *Calls* bila *_PASSWORD,_* siku moja yawezekana ukaokoa *maisha* yako au ya wapendwa wako.
*_PASSWORD_* katika simu yako yaweza pelekea *umauti* wako.
*Fikiria mara mbili...............amonationTZ♂♂♂♂♂
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.