bartaizo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 236
- 86
Watu watatu walipata ajali ya gari na hawakujitambua kabisa. Raia mwema akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu kwa msaada. Bahati mbaya hakuwa na simu.
Kwenye ajali kulikuwa na simu 6 lakini zote zilikuwa na PASSWORD. Mwisho wake wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimaye wakafariki wote.
.
.
Mama Mjamzito alianguka ghafla nyumbani kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike. Alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie baba yake kwa msaada zaidi. Kwa bahati mbaya simu ilikuwa na PASSWORD. Akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho akapoteza maisha.
Nani mwenye makosa?
USHAURI
Wewe una thamani sana kuliko taarifa unazoziwekea usalama katika simu.
Weka PASSWORD katika WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k
Acha upande wa Phonebook na Calls bila PASSWORD, siku moja yawezekana ukaokoa maisha yako au ya wapendwa wako.
PASSWORD katika simu yako yaweza pelekea umauti wako.
Fikiria mara mbili.
Kwenye ajali kulikuwa na simu 6 lakini zote zilikuwa na PASSWORD. Mwisho wake wakakosa msaada wa kuwahishwa hospitali na hatimaye wakafariki wote.
.
.
Mama Mjamzito alianguka ghafla nyumbani kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike. Alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie baba yake kwa msaada zaidi. Kwa bahati mbaya simu ilikuwa na PASSWORD. Akachelewa kuwahi kupata huduma na mwisho akapoteza maisha.
Nani mwenye makosa?
USHAURI
Wewe una thamani sana kuliko taarifa unazoziwekea usalama katika simu.
Weka PASSWORD katika WhatsApp, Facebook, Message, Gallery n.k
Acha upande wa Phonebook na Calls bila PASSWORD, siku moja yawezekana ukaokoa maisha yako au ya wapendwa wako.
PASSWORD katika simu yako yaweza pelekea umauti wako.
Fikiria mara mbili.