Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

Leo ongelea hata mema na mazuri yaliyosemwa na Rais

Kila siku wewe uko na chedema tuuuuuuuuuuuuu

Hao hawana ishu, ulishasema chama kifutwe,

Hawana mbunge, hawana Diwani hawana mtu yoyote mwenye say yoyote

All the time uko busy na chadema tu

Unasahau mpaka mazuri mengine yanayofanywa na serikali yako ambayo watu hawayajui
gentleman,
ni muhimu sana kufuatilia jambo hilo kwenye maandiko mengine jukwaani gentleman na itapendeza zaidi 🐒
 
ili tutukane na kuporomosha matusi kama wao, right gentleman?🐒
Si umeshaona kilio mlicho nacho? Ni senseless, hakuna namna chama tawala, ambacho kina dhamana na maisha na maendeleo ya taifa, kikawa kina scan matusi, ambayo kimsingi sijayaona kwenye hoja nyingi wanazotoa; ni suala la vidonge mnavyoshindwa kumeza, ndio mnaita matusi. Mnalia lia kutukanwa na mkiulizwa mfano wa tusi, mnaanza kujizungusha, siasa za kuoneana huruma au kutafuta huruma zilishakwisha, mmejenga jamii radical wenyewe, ngojeni show. Mlidhani mtachekewa chekewa na ule ujinga wa mila na desturi, sio?
 
Si umeshaona kilio mlicho nacho? Ni senseless, hakuna namna chama tawala, ambacho kina dhamana na maisha na maendeleo ya taifa, kikawa kina scan matusi, ambayo kimsingi sijayaona kwenye hoja nyingi wanazotoa; ni suala la vidonge mnavyoshindwa kumeza, ndio mnaita matusi. Mnalia lia kutukanwa na mkiulizwa mfano wa tusi, mnaanza kujizungusha, siasa za kuoneana huruma au kutafuta huruma zilishakwisha, mmejenga jamii radical wenyewe, ngojeni show. Mlidhani mtachekewa chekewa na ule ujinga wa mila na desturi, sio?
Just relax gentleman,
huna haja ya mihemko wala makasiriko, ikiwa huoni matusi ya chadema badala yake unaona verse za biblia tu kutoka kwa watukanaji na waporomosha matusi ambao milioni mia3 hawataki kuchangia bali kuporomosha matusi tu jukwaani 🐒
 
Back
Top Bottom