Narudia tena kuwa hakuna mwana cdm mwizi was rasilimali za taifa.gentleman,
ni muhimu kueleza kulikoni milioni mia3 tu zinaitoa jasho chadema?
Kuna mgomo au ni ufisadi wa heche?
huna haja ya porojo zaidi kinyume na hoja mahususi mezani na itapendeza zaidi š
Unaanzaje kuishuari cdm wkaati ndani ya chama chetu kumejaa majizi ya rasilimali za taifa letu?kwamba huoni au unajaribu kutakatifuza matusi ya chadema gentleman dhidi ya wenye maoni tofauti na yao?š¤£
Kwako mkata viuno Bora kabisa hapo lumumba vipi ushajifungua au bado mama kija ?Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?
There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?š
Mungu Ibariki Tanzania
Nenda kawakamate uwafungulie kesi za ugaidi.Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?
There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?š
Mungu Ibariki Tanzania
KUKISHAKUWA NA DOUBT JUU YA UFISADI MARA NYINGI HILI NI TATIZO,NIMEWAPA USHAURI MARA NYINGI LAKINI NAONA YULE AMBAYE ANAHISIWA KUFISADI AMEGOMEA KITI HATAKI KUKIACHIA KAMWE!Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?
There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?š
Mungu Ibariki Tanzania
Fedha halali, lazima utoke jasho,za kufisadi hutokei jambo ni mwendo wa unafiki tuu!Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?
There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?š
Mungu Ibariki Tanzania
Ungewapa ushauri alipo pole pole,ningekuona wa Maana,mtu ni Bora kuliko Hela .KUKISHAKUWA NA DOUBT JUU YA UFISADI MARA NYINGI HILI NI TATIZO,NIMEWAPA USHAURI MARA NYINGI LAKINI NAONA YULE AMBAYE ANAHISIWA KUFISADI AMEGOMEA KITI HATAKI KUKIACHIA KAMWE!
Sawasawa,kuliko nyie mapunda wa CCM!CHADEMA wamekataa kuchukuliwa kama Manyumbu na Mambumbumbu
Project ya CCM imefeli!
Endelea kuitetea mboga mboga,ikufie mkononi!
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?
There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?š
Mungu Ibariki Tanzania
Umempa za uso, atakuja na nosense, gentleman!Leo ongelea hata mema na mazuri yaliyosemwa na Rais
Kila siku wewe uko na chedema tuuuuuuuuuuuuu
Hao hawana ishu, ulishasema chama kifutwe,
Hawana mbunge, hawana Diwani hawana mtu yoyote mwenye say yoyote
All the time uko busy na chadema tu
Unasahau mpaka mazuri mengine yanayofanywa na serikali yako ambayo watu hawayajui
Kwa mtazamo,anaipenda sana CHADEMA,ila kazi ya buku7 ndio inamfanya aact kinyume ni mwanamageuzi huyuUmempa za uso, atakuja na nosense, gentleman!
Matusi kama yapi? Mbona mnalia lia wazee, matusi yapi?kwamba huoni au unajaribu kutakatifuza matusi ya chadema gentleman dhidi ya wenye maoni tofauti na yao?š¤£