GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Maeneo yatakayoathirika ni nchi nzima ila hasa hasa itakuwa ni Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Mara, Mbeya, Iringa, Morogoro na Dar es Salaam na Kitaanza tarehe 25 Asubuhi na Kumalizika Siku hiyo hiyo Usiku wa Saa 5 na dakika 59. Ila pamoja na Kupiga huko hicho Kimbunga ' John ' kitaacha madhara makubwa na Simulizi zaidi maeneo ya Hai, Arusha Mjini, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Tarime na Kawe.
Si vibaya tukianza Kuchukua ' tahadhari ' nacho mapema hiki Kimbunga ' John ' kwani kwa mwakani kitakuwa hakina mzaha.
Nawasilisha.
Si vibaya tukianza Kuchukua ' tahadhari ' nacho mapema hiki Kimbunga ' John ' kwani kwa mwakani kitakuwa hakina mzaha.
Nawasilisha.