Huenda katibu mkuu wa TEC asirejee tena kwenye wadhifa wake

Huenda katibu mkuu wa TEC asirejee tena kwenye wadhifa wake

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,837
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Katoliki hawashikiwa akili kama wale ndugu zenu, hakuna askofu anaye shikiwa akili,
 
Kamati Kuu ya Chadema ilikuwa inafanyia vikao ofisini kwake. Ndiye alikuwa anasuluhisha Mbowe na Lissu huku akimzuia Mbowe asigombee.

Kwa kuwa yeye na Lissu ni wanyaturu, kajiapiza kwamba wanyaturu lazima waingie ikulu. Mikakati yake ya kulifanya kanisa liwe tawi la chadema inakwamishwa na baadhi ya maaskofu ambao wanafuata misingi ya kikatoliki. Hawataki mambo ya hovyo hovyo.
 
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
TEC imewapiga pigo takatifu, sio mama Wala vibaraka wake ,wote wanaoonekana kuchanganyikiwa
 
Kamati Kuu ya Chadema ilikuwa inafanyia vikao ofisini kwake. Ndiye alikuwa anasuluhisha Mbowe na Lissu huku akimzuia Mbowe asigombee.

Kwa kuwa yeye na Lissu ni wanyaturu, kajiapiza kwamba wanyaturu lazima waingie ikulu. Mikakati yake ya kulifanya kanisa liwe tawi la chadema inakwamishwa na baadhi ya maaskofu ambao wanafuata misingi ya kikatoliki. Hawataki mambo ya hovyo hovyo.
Tatizo ndio lilianzia hapa.
 
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania


Gentleman
Kwani huko ccm ni lazima kukubalika kila sehemu?

Why hamuwezi kukubali kuwa sehemu flan tunakubalika na sehemu flan hatukubaliki

Wakatoliki wana watu wao, acha waelekeze watu wao cha kufanya

Na nyie ccm mna watu wenu, elekezeni watu wenu cha kufanya,

October mnatick na kanisani hamuendi au sio 😆
 
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mnahangaika sana. Walimpa huo ukatibu wakiwa wanajua vizuri kabisa ni mtu wa aina gani. Mnajifanya kuhamisha mada ionekane waraka unamlenga Kitima kumbe mnakaribia kujiharishia. Otherwise waacheni TEC wafanye mambo yao
 
TEC ni vatikan ni serikali inayojitegemea na serikali tajiri kuliko serikali zote duniani

Serikali yenye wasomi wengi zaidi kuliko zote duniani!!

Katibu mkuu hata akiondoka akaja Steve Nyerere hawezi kubadili msimamo wa kanisa

Amani ni tunda la haki

No reform no Election!!
 
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
CCM mnachokiweza mnayoyaweza ni haya tu

 

Attachments

  • Screenshot_20250620_210545_Instagram.jpg
    Screenshot_20250620_210545_Instagram.jpg
    265.7 KB · Views: 18
Kamati Kuu ya Chadema ilikuwa inafanyia vikao ofisini kwake. Ndiye alikuwa anasuluhisha Mbowe na Lissu huku akimzuia Mbowe asigombee.

Kwa kuwa yeye na Lissu ni wanyaturu, kajiapiza kwamba wanyaturu lazima waingie ikulu. Mikakati yake ya kulifanya kanisa liwe tawi la chadema inakwamishwa na baadhi ya maaskofu ambao wanafuata misingi ya kikatoliki. Hawataki mambo ya hovyo hovyo.

Sasa kitu gani cha ajabu?

Mbona vikao vya ccm vinafanyika ikulu?

Au ikulu ni office za ccm?
 
CCM mnachokiweza mnayoyaweza ni haya tu
View attachment 3378836
View attachment 3378840

Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu mbona unahangaika sana leo. Naona hufahamu taratibu za hilo kanisa. Ukiona,waraka umetoka ujue ni makubaliano ya maaskofu wote.
Ni baada ya kuonekana na kulalamikiwa kwa kukumbatia siasa na harakati za kijamii zaidi, hususani katika humilia za misa na ibada zake zote anazoongoza tangu mwaka huu 2025 kuanza.

Mienendo yake imeonkana kuwakera baadhi ya makasisi, maaskofu na waamini wa kanisa hilo ambao wanaoonekana kugawanyika kutokana na hali hiyo yenye sura ya upendeleo wa kisiasa kwenye baadhi ya ibada na misa ndani ya kanisa hilo.

Marufuku ya salamu za viongozi wa kisiasa kanisani baada au kabla ya ibada, ni mabadiliko muhimu ndani ya kanisa hilo ambayo yanalenga kuliunganisha na kuwaleta pamoja viongizi na waamini wa kanisa hilo

Mathila yenye sura ya kisiasa aliokumbana nayo hivi majuzi yanatajwa kama miongoni mwa sababu zilizopelekea kuwekwa kando ya wadhifa huo.

Una maoni gani ndugu mdau 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu mbona unahangaika sana leo. Naona huelewi utaratibu wa kanisa Katoliki. Ukiona waraka umetoka na kusainiwa basi ujue ni makubaliano ya maaskofu wote. Huyo katibu wa TEC wala hawaamulii na kuwalazimisha hao maaskofu. Relax, utaanzisha nyuzi weee, mpaka sukari na pressure vikupande bure kisa,TEC
 
Back
Top Bottom