Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 6,213
- 2,000
anguko wakati ndo anazidi kujiimarisha Afrika, tena itakua ana mpango wa muda mrefu saana kwenye hili baraNaona anguko la wachina kama wataendeleza tamaa zao
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Ndio rafiki wapendwa wa CCM hao!
Kabisa. Mchina akiichukua ccm ndiyo itakuwa poa sana.
CCM ni sikio la kufa........ kwa mchinaChina inahamia Afrika sasa,mwenzako akinyolewa ww tia maji.
US wanatakiwa watumie hiyo sababu kuingia Africa kwa nguvuNaona anguko la wachina kama wataendeleza tamaa zao
Sent using my iPhone using jamiiforum app
anguko wakati ndo anazidi kujiimarisha Afrika, tena itakua ana mpango wa muda mrefu saana kwenye hili bara
US wanatakiwa watumie hiyo sababu kuingia Africa kwa nguvu
Waanze na Mwenyekiti wake kwanza hawa wengine hatuna shida nao ni njaa na midomo ndio inawaponza.Mchina aje aichukue na CCM kabisa tutampa bure
Fafanua kidogo mkuu!Kuna nchi bado hazijazinduka usingizini
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us