Huenda Bishop Gwajima kafilisika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
45,280
Reaction score
37,075
Walinzi wapunguzwa, huku baadhi ya vijakazi wa kanisa lake hawaelewi hatma ya malipo yao ya awali kabla ya kanisa kufungwa, wala majukumu yao baada ya kanisa kufungwa kama yanaendelea ama la kwasababu ndipo walipokua wanapata mkate wao wa kila siku na familia zao.

Kumbuka mapato ya bishop Gwajima yalitegemea zaidi sadaka na matoleo ya bila kujibakiza ya waamini wake.

Kwa hali hiyo, inasemekana muungwana yupo hali mbaya kiuchumi. Pension ya ubunge imeishia kwenye madeni tu.

Unamshauri nini huyu muungwana?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wewe shoga Nini? Jifikirie weee na future yako, mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
 
Wewe shoga Nini? Jifikirie weee na future yako, mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
mbona hata Samia anategemea kodi zetu ili aishi
 
Hiyo hoja yako Ina mchango gani zaidi ya kebehi na dhihaka?
 
Kapunguza kukuonga nini, itakua na wewe umepunguza kumkatikia viuno
 
Relax gentleman
Njoo tucheze darts hebu ji refresh
Kdg ubongo

Ova
 

Attachments

  • 20250829_123054.jpg
    357.3 KB · Views: 35
Kwann Kanisa lilindwe na Vibinadamu kwani. Ilo. KANISA la Mungu au Binadamu!!?????
 
Apige magoti ??!
Kufanya ibada au kuomba msamaha. ??!
Blackmail au ??!
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜… πŸ€·πŸΏβ€β™‚οΈ !
 
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kwaiyo alivyowatetea watu wanaotekwa we uliona sio sawa kila kitu kina gharama zake ye ndo kalipa izo bado upande wa pili nao watalipa gharama zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…