Taja maeneo mkoa husika....mko wangapi mtaoweza connect ? Na share cost hizo???Natafuta kampuni inayotoa huduma ya kuconnect internet ambayo inafanya nje kidogo ya mji, ttcl imeshindikana
Kampuni zote zinapeleka popote fiber, ila kuleta fiber sehemu ambayo haina watu gharama zake mtu wa kawaida hawezi afford. Watakuwa quote milioni 600 ama Bilioni kadhaa kama ni nje ya mji.Natafuta kampuni inayotoa huduma ya kuconnect internet ambayo inafanya nje kidogo ya mji, ttcl imeshindikana