Huduma za changudoa

Huduma za changudoa

Kweli Tanzania tunapiga msamba baada ya hatua kwenye maendeleo.....haya mwenye namba ya kigoli anayetoa huduma pendwa katika viwango vya kimataifa..twafwadhali naomba ani PM natangaza zawadi nono kwa atakaye nitumia ya mtoto wa ukweli...nikachangamshe damu.....
 
Huyo ni changu namjua mweupe amechanganya kabila za kaskazini maji mara moja ana kunywa vinywaji vyote bia, konyagi chochote kinachokuja mbele yake
 
Dah ngoja nikutumie kwenye Pm kama uko serious ila yeye unalipia chumba kwanza kama utatumia chumba chake, amepanga Guest moja nzuri tu maeneo ya Mabibo. Yuko vizuri kwa kweli ila huwa akilewa anafanya mambo ya kijinga kidogo. Anaitwa Jack

Mkuu funguka tu hapo kwenye mambo ya kijinga, nadhani tungefurahi kuyajua.
 
Hahahahahaaaaa nakubaliana na weee, juzi nilionyeshwa huo unga, aiseee Yaani ni kiduchu kweli jamaa anauza buku mbili. Nilitamani kupiga picha jamaa akamaind. Polisi nimewapigia weee hadi mkubwa wao lakini Mmmghhh

Huo unoko sasa, nadhani kucha na meno yako umeyachoka...
Hao wakuu uliowapigia wana fungu lao la kumi kabla ya kukamata wanataja jina la reporter na sehemu anayopatikana.
 
Kalaghabao wee sijui uko dunia ya ngapi?condom hazizuii maambukizi ya vvu.Condom zinazuia magonjwa mengine ya ngono,mimba pia ila si vvu.Condoms zote zina vitobo vidogovidogo ambavyo ni ukubwa wa 1.5 na kirusi cha ukimwi kina ukubwa wa 0.5. Ukisurvive gonjwa na huku mzururaj shukuru rehema za Mungu si useme kondom umekusaidia.Tafuta mpenzi mmoja mwaminifu.Mshirikishe Mungu kama ni unaamin katika Mungu.Okay bye

Incomplete information....
Mentioned figures are they in terms of Km, m, or mm.....?
 
Hahahahahahahaha mbona madada poa wapo kibao nenda manzese tiptop utawakuta na namba watakupa counta book lenye no zao ni wewe tu full kuhondomola!!!!

Hahahahha hao wa Manzese sio mwanangu, karibia wote kule wanakula fegi tena zile nyota kama unazijua... afu wahuni wahuni sana malaya wa manzese pale... Malaya wazuri Sinza Meeda pale au sana wapo kangaroo pale...
 
Hahahahha hao wa Manzese sio mwanangu, karibia wote kule wanakula fegi tena zile nyota kama unazijua... afu wahuni wahuni sana malaya wa manzese pale... Malaya wazuri Sinza Meeda pale au sana wapo kangaroo pale...

Hahahaaa.. Last weekend nilienda Igo pub sinza.....lol. Baa imejaa kinomaaa.. Mademu wanapita pita kuangalia nani yuko single wampe kampani...

Alshabab wakija hawahitaji kwenda mlimani city.. Huku kwenye local pubs kunajaza sana...
 
Nawakaribisha hapa nilipo buku 2 yako tu unakula mzigo
 
Naamini vijana mmeshafika viwanja vya Sokota, pale Kisuma, zamani Sugar ray
 
TANDIKA KUNA MTAA WA WAHAYA...NI HATARI...VYUMBA KAMA 80 .....KUJICHAGULIA TU CHA KUINGIA.... WAMEJIANIKA TU NJE NA NIGHT DRESS MCHANA NA KANGA.... HAINA KUTONGOZA...UNAPITA MWANZO MPAKA MWISHO UTAKAPOVUTIWA UNAINGIA tu ....
 
Habari wadau?

Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa.

Hebu fikiria kidogo. Niliongea na dada mmoja (pale Sinza). Amepanga chumba guest house analipa sh.20,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 600,000. Kwa siku anapata wateja kati ya 3-8 wa short time ambao wanamlipa kati ya 10,000 mpaka 30,000 kutegemea na ushamba wa mteja (maneno yake). Akipata wa usiku wote ni 50,000-100,000. Sasa kama angelipa 30% as tax unaweza ona kwa kiasi gani serikali ingepata hela.

Jingine ni kwamba huduma wanayotoa inahitajika, ukikaa pale utaona watu wanavyofurika kuchukua wadada poa. Kila dakika kuna mtu anaingia au gari inaondoka na mmoja.

Ishu yangu sasa ni hii. Kama biashara hii ingeruhusiwa kungekuwa na huduma za call girls kibao, wengine tusingepata tabu ya kutafuta walipo. Tungepiga simu tu unaletewa mzigo mpaka unapotaka. Faida yake ni kwamba, kwanza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ingepungua!! Hawa mademu wa mtaani tunaofikiri ni decent ndio wanaotuua, kwa sababu anakuwa na wanaume kadhaa na sisi kwa kufikiri uko pekee, mkishakutana mara tatu nne unaacha kutumia kinga. (Wengi watajifanya hawajui ninachosema hapa lakini mioyo yao inawasuta).

Pili hawa mademu wa mtaani tunaowafanya wa kudumu ni very expensive kuwa-maintain, yet one day anakusaliti!!! Siwataki kabisa na nimeamua rasmi nikisikia muhemuko nachukua changudoa. (Wawili wamenilet down vibaya!! wa kwanza alishika mimba nikalea mpaka akajifungua miaka miwili baadae nikagundua mimba nilipakaziwa. wa pili nimedumu nae miaka minne sasa na yeye hivohivo - nitawapa story zao baada ya hili, yaani kama movie)

Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.


Mi Naona Serikali pia iwasaidie wajisajili na Mifuko ya hifadhi ya Jamii kama NSSF. Au vipi kaka? Pia wakate na Bima ya Afya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom