Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumwa na Tandu

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,989
Assalam Alaykum wana Jamiiforums. Nilikuwa nasikia huyu mdudu Tandu ana sumu kali akikuuma lazima kamasi likutoke kwa uchungu wa maumivu. Leo yamenikuta huyu mdudu ameniuma, lakini nimefanikiwa kumuua. Sasa ninapata maumivu makali mno, nahitaji huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumwa na Tandu anatakiwa kufanya nini? Asanteni.
 
Huwa joto mwili linapanda tym 2 tym ila ni kwa masaa kadhaa fika hosp haswa lugalo ndio tiba hizo hupatikana: kuna wale wana kijani mgongoni ina sadikika hawana sumu kali ila wale wekundu na nyuma kama wana mbawa mbili hua ni hatari
 
Mkuu Mimi nilishawahi kuumwa na Tandu na Nge pia!

Maumivu ya Tandu ni Makali kwa muda ila maumivu huendelea kwa kiwango flani hata week nzima, binafsi sikwenda Hospital niliendelea tu na mishe zangu, sasa imepita miaka 10, na niling'atwa Ubavuni.
 
Mdudu yeyote mwenye sumu tata akakung'ata kama una afya mgogoro huchukui round ila kama una afya unaweza kupona ila kama ukichelewa matibabu hali inaweza badilika
 
Back
Top Bottom