Huduma ya dialysis kuwa bure

Huduma ya dialysis kuwa bure

Ni wazo zuri. Lakini nadhani pia tuwekeze zaidi kwenye kinga kama tunavyofanya kwenye tiba. Sababu za ugonjwa wa figo zInafahamika na tafiti nyingi sana zinafanywa kwenye eneo hilo. Tuamue sasa kupambana dhidi ya magonjwa yasio ambukiza kwa maana ya kisukari, shinikizo la juu la damu, tuache tabia bwete, tupunguze matumizi ya bidhaa za viwandani na pombe za vichochoroni. Ni bora tukose kodi ila taifa liwe lenye afya.​
 
Ni wazo zuri. Lakini nadhani pia tuwekeze zaidi kwenye kinga kama tunavyofanya kwenye tiba. Sababu za ugonjwa wa figo zInafahamika na tafiti nyingi sana zinafanywa kwenye eneo hilo. Tuamue sasa kupambana dhidi ya magonjwa yasio ambukiza kwa maana ya kisukari, shinikizo la juu la damu, tuache tabia bwete, tupunguze matumizi ya bidhaa za viwandani na pombe za vichochoroni. Ni bora tukose kodi ila taifa liwe lenye afya.​
Nimependa hii...
 
Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha huduma ya dialysis inakua bure

Ukiwa maskini au unakipato kidogo Figo zako zikifa hutaweza kumudu gharama za sasa za dialysis

Mfano mashine moja ya dialysis ni sh 200,000,000 haya ni makadirio
200,000,000 × 184= 36,000,000,000
(184 ni jumla ya wilaya zote zilizopo Tanzania) ukizidisha mara mbili ni sh billion 72,000,000,000 kila wilaya inaweza ikawa na mashine mbili za dialysis na watu wakapata huduma bure
View attachment 3349704
(Team Dennis-255713520180)
Mkuu labda una mawazo mazuri na lengo lako ni kupatiwa nafasi ili ulete mabadiliko ila unatumia wrong platform, ungetafuta chama unachokipenda ujiunge nacho, make your intentions known then wakikuona una credibility watakupa nafasi ya kupush agenda zako....hapa JF patumie kukupa more ideas ama kukuchallenge mawazo yako yawe bora.
 
Mkuu labda una mawazo mazuri na lengo lako ni kupatiwa nafasi ili ulete mabadiliko ila unatumia wrong platform, ungetafuta chama unachokipenda ujiunge nacho, make your intentions known then wakikuona una credibility watakupa nafasi ya kupush agenda zako....hapa JF patumie kukupa more ideas ama kukuchallenge mawazo yako yawe bora.
Ndani ya vyama hakuna mawazo huru mfano uko ccm huwezi elezea maono yako ya kuwa Rais wa Tanzania lihali mgombea ni samia suluhu utaokana mtovu wa nidhamu

Chadema nao wako na no reform no election
 
Tuanzie hapa kwanza..., Kwanini Dialysis ni expensive in the first place ?

Tukishajua kwanini huenda ndio tukapata dawa stahiki, sababu vya kufanya katika any given moment ni vingi kuliko uwezo wa kuvifanikisha, na vingine huenda vikafanikishwa bila uhitaji wa kifedha.., sababu kumbuka pesa ya Serikali ni Pesa ya huyo huyo mbagaizaji au jirani / rafiki / ndugu wa huyo mbangaizaji....

Ushauri badala ya watu kuendeleza imani za kuzika watu wakifa basi tuanze na mpango wa watu ku donate viungo vyao....
 
Tuanzie hapa kwanza..., Kwanini Dialysis ni expensive in the first place ?

Tukishajua kwanini huenda ndio tukapata dawa stahiki, sababu vya kufanya katika any given moment ni vingi kuliko uwezo wa kuvifanikisha, na vingine huenda vikafanikishwa bila uhitaji wa kifedha.., sababu kumbuka pesa ya Serikali ni Pesa ya huyo huyo mbagaizaji au jirani / rafiki / ndugu wa huyo mbangaizaji....

Ushauri badala ya watu kuendeleza imani za kuzika watu wakifa basi tuanze na mpango wa watu ku donate viungo vyao....
Session moja ni karibia laki 2, kwa week unaenda sio chini ya mara tatu mtu wa kawaida hawezi afford hizi gharama
 
Session moja ni karibia laki 2, kwa week unaenda sio chini ya mara tatu mtu wa kawaida hawezi afford hizi gharama
Hilo najua ila kwanini ? Jibu ni expensive process yenye gharama za vifaa, treatments na expertise, sasa kwa kujua hayo ndio maana hata nchi ziliamua kuingia katika BIMA ili kupunguza mzigo kwa Serikali / UMMA au kwa mtu kushindwa kulipa asiye na pesa (hivyo ni muhimu kuhimiza BIMA ambayo ni affordable kwa wote na iwe BIMA kweli sio Utapeli)

Vilevile tuondokana na tamaduni zetu za kuendelea kuzika viungo ambavyo vingeweza kutumiwa na wengine walio HAI, watu wakifa badala ya kuzika moja kwa moja wanaweza kuacha wosia wa ku donate organs zao...
 
Ndani ya vyama hakuna mawazo huru mfano uko ccm huwezi elezea maono yako ya kuwa Rais wa Tanzania lihali mgombea ni samia suluhu utaokana mtovu wa nidhamu

Chadema nao wako na no reform no election
Anzisha chako mkuu,lol humu humu JF utapata wafuasi...ukiwa na campaign strategist lazima utoboe lol...na mimi unifanye festi ledi hahahhha
 
Hilo najua ila kwanini ? Jibu ni expensive process yenye gharama za vifaa, treatments na expertise, sasa kwa kujua hayo ndio maana hata nchi ziliamua kuingia katika BIMA ili kupunguza mzigo kwa Serikali / UMMA au kwa mtu kushindwa kulipa asiye na pesa (hivyo ni muhimu kuhimiza BIMA ambayo ni affordable kwa wote na iwe BIMA kweli sio Utapeli)

Vilevile tuondokana na tamaduni zetu za kuendelea kuzika viungo ambavyo vingeweza kutumiwa na wengine walio HAI, watu wakifa badala ya kuzika moja kwa moja wanaweza kuacha wosia wa ku donate organs zao...
Inatakiwa iwe bure hizo gharama itabeba serikali yangu mimi nikiwa Rais
 
Ndo nimeanza tayari nahitaji support yenu
Haya mkuu...kama uko serious umeanza kinyume hukutakiwa kuanza na JF ulitakiwa uanze na chama chako ndio uje jf wakipendezwa na sera zako wakufuate...huku unaandika topic after sometimes inabaki kuwa statistics kwenye makabati ya JF
 
Hv kwanini gharama ya kufanya dialysis ni kubwa hivyo. Hv masikini ikitokea akawa anapaswa kufanya dialysis Kila wiki ataweza kweli??
 
Mh. Rais kura yangu umeshapata mpaka sasa
 
Back
Top Bottom