Kijeba Kijeba
Senior Member
- Mar 7, 2024
- 153
- 212
Changamoto ni kwamba uwezo wa waafrika na Watanzania wengi ni mdogo sana unavyoona huku jamiiforum ndo reflect ya watanzaniaMnataka tuwe tuna discuss mambo ya simba na kajala kurudiana na harmonize
Ila tukisema tuongelee mambo ya msingi wanasema tumechanganyikiwa