Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,163
- 6,172
Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha huduma ya dialysis inakua bure
Mfano mashine moja ya dialysis ni sh 200,000,000 haya ni makadirio
200,000,000 × 184= 36,000,000,000
(184 ni jumla ya wilaya zote zilizopo Tanzania) ukizidisha mara mbili ni sh billion 72,000,000,000 kila wilaya inaweza ikawa na mashine mbili za dialysis na watu wakapata huduma bure
Mfano mashine moja ya dialysis ni sh 200,000,000 haya ni makadirio
200,000,000 × 184= 36,000,000,000
(184 ni jumla ya wilaya zote zilizopo Tanzania) ukizidisha mara mbili ni sh billion 72,000,000,000 kila wilaya inaweza ikawa na mashine mbili za dialysis na watu wakapata huduma bure