Huduma ya dialysis kuwa bure

Huduma ya dialysis kuwa bure

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,163
Reaction score
6,172
Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha huduma ya dialysis inakua bure

Mfano mashine moja ya dialysis ni sh 200,000,000 haya ni makadirio
200,000,000 × 184= 36,000,000,000
(184 ni jumla ya wilaya zote zilizopo Tanzania) ukizidisha mara mbili ni sh billion 72,000,000,000 kila wilaya inaweza ikawa na mashine mbili za dialysis na watu wakapata huduma bure

 
Hebu tutolee ujinga wako wewe,Kila maada nikwa rais nikiwa rais
 
Hebu tutolee ujinga wako wewe,Kila maada nikwa rais nikiwa rais
Hiyo ndio staili yake ya kutengeneza maudhui na kuiwasilisha. Ukitaka muelewe ukigoma kumuelewa basi hulazimishwi. Muhimu hajavunja sheria yoyote ya JF.
 
Hiyo ndio staili yake ya kutengeneza maudhui na kuiwasilisha. Ukitaka muelewe ukigoma kumuelewa basi hulazimishwi. Muhimu hajavunja sheria yoyote ya JF.
Uko sahii ila fahamu watanzania wanachangamoto sana
 
Kama ni mtu wa kipato cha chini na maskini Figo zako zikifa hutaweza kumudu gharama za dialysis
 
Back
Top Bottom