Malipo inakuaje
MAlipo inakuaje sasa npo mbal
Ni y 300..ntashtua
kuna jamaa mmoja anaitwa Juma something nimepata namba yake humuhumu.
tena sio kwa siku 2 kama uyo mwl. nimempigia uyo mwl ananiambia eti 30000,
....... alafu lazima usubiri.
JUMA anakupigia hapo hapo hata sek 20 haziishi. si mfagilii but inapofikia sehemu ya kumpa mtu credit lazima uumpe-0682295752
yuko pale mlimani university.
achana na mwl. uyo nimemwomba 20000, ananiambia siwezi fanya kazi ya 20000. samahani mwl. lakini umeniboa!!! tofauti ya 10000 na 30000 ni kubwa sana.
....uyo nimemwomba 20000, ananiambia siwezi fanya kazi ya 20000........10000 na 30000 ni kubwa sana.
kuna jamaa mmoja anaitwa Juma something nimepata namba yake humuhumu. leo nimenunua simu tigo na sasaivi nishatoa izo code. tena sio kwa siku 2 kama uyo mwl. nimempigia uyo mwl ananiambia eti 30000, alafu lazima usubiri. JUMA anakupigia hapo hapo hata sek 20 haziishi. si mfagilii but inapofikia sehemu ya kumpa mtu credit lazima uumpe-0682295752
yuko pale mlimani university. achana na mwl. uyo nimemwomba 20000, ananiambia siwezi fanya kazi ya 20000. samahani mwl. lakini umeniboa!!! tofauti ya 10000 na 30000 ni kubwa sana.
IMEI.. 868438019329716Mawasiliano:Mwl.RCT
>> BBM PIN# 76440f77
>> Whatsapp # 0784 496 856
>> Skype #: Mw1rct
>> tigo #: 0717 54 57 62
>> Voda #: 0768 92 48 41
>> Airtel #: 0784 496 856
Kwa Wakazi wa Mwanza tu Piga hii simu: 0787 921 515 { Eraldius } Ili kufika katika ofisi yetu.
Karibuni Sana kwa huduma bora na ya hakika.
huawei y300 imei 863522024645433 unlocking code mkuu
Kwa nini ni unlock wakati wenyewe wali lock ?
Hizo mobile router unauza laki na 80, wakati posta zinauzwa laki na 35, mbona wapigaji humu
Kama mtu anataka anichek nimuelekeze duka
Habari wataalam, rafiki yangu amefika toka London na simu tajwa hapo juu. Orange wamei-lock, anataka ku-unlock, IMEI 352376053868251. Kwa niaba ninaomba unlock code
Nawasilisha.
Nipe taarifa hizi ili nikupe cost stahiliiphone 4 unafanya kias gani?
Nipe taarifa hizi ili nikupe cost stahili
Ila range ya price kwa Iphone 4 ni kati ya TSH 60,000 hadi 225,000.{ Price hii red ni kwa simu ambazo hazina taarifa hizo mbili muhimu}
- Network locked: Mafano AT&T usa , au O2 German
- IMEI number.
oFFtOPIC
- KARIBU.
- Mkuu ile avatar yako ya awali ndio haswa ilikuwa inaakisi user ID yako
Haya ntairudisha mkuu,
Ila nilikuwa nauliza ili nijue nikiagiza nachajiwa kiasi gani ku-unlock. Mtandao ni verizon
- Kwa verizon USA andaa tsh 175,000 kwa ajiri ya unlocking
- ila hakikisha anakupa taarifa zote za hiyo simu. Apple product zao huwa zinasumbua iwapo hutakuwa na taarifa zake mfano apple IDs [ /username or password kwa ajiri ya itune/ icloud]