Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,952
Ata cjui mtandao upi but inaandika tu offline ukieka na ata usipoeka sim card...inafanya kila kitu but kupiga aikubali...wala meseji kutuma...inshort sim card ata nkieka inakua aifany kazIwashe ikiwa na laini ya simu tofauti.
Kisha angalia kama inakuletea kiboksi kinachotaka kuwekewa code.
Moja ya haya maelezo inatakiwa yawepo.
Network Unlock Code
SIM Unlock code
Enter SIM Me Lock
Enter NP Code
Please Input Network Pin
Service Provider unlock code
SIM network unlock pin
SIM Service provider unlock pin
SIM network unlock pin/NP Code
SIM network subset unlock pin
SIM service provider unlock pin
Network control key
Phone Lock Unblock Code
Je UK ilikuwa inatumia mtandao Upi?
ukiweka line tofauti tofauti inaandikaje kwenye screenNokia c5
KUWEKA imei Hadharani ni hasara kwakoPhone: HUAWEI ASCEND Y200
IMEI : 861895014520929
hebu icheki hiyo, nataka ku unlocke simu yangu. Course ina tumia Tigo pekeyake.
kama ipi mfano mkuu imei ni moja kwa kila simu au unawaza kutengeneza simu feki kwa kushare imei TCRA wapo macho haoKUWEKA imei Hadharani ni hasara kwako
mmm sitaki kuongelea hili swala la imei kwani nalijua vizuri sana wewe ni kupokea ushauri tukama ipi mfano mkuu imei ni moja kwa kila simu au unawaza kutengeneza simu feki kwa kushare imei TCRA wapo macho hao
nitapokea vipi ushauri bila kuambiwa madhara yake mkuu maana nijuavyo imei ni utambulisho wa simu tu je kuna kingine zaidimmm sitaki kuongelea hili swala la imei kwani nalijua vizuri sana wewe ni kupokea ushauri tu
nitapokea vipi ushauri bila kuambiwa madhara yake mkuu maana nijuavyo imei ni utambulisho wa simu tu je kuna kingine zaidi
kutambulika kwa simu yako ndo iwe shida?
Kwenye jumua huwezi kukomesha wizi bali kupunguza (you can not stop stealing but control) mimi ni mudau wa kutengeneza simu sitaki kuzama zaidi kwenye hili kwakuwa litanighalimunitapokea vipi ushauri bila kuambiwa madhara yake mkuu maana nijuavyo imei ni utambulisho wa simu tu je kuna kingine zaidi
kutambulika kwa simu yako ndo iwe shida?
oh hapo nimekuelewa mkuu mimi nilidhani kwa staili waliyoleta TCRA kuzifungia simu zenye copy of imei haiwezekani simu moja kuwa na imei tofauti but nimekuelewa kwa kufocus soko la nje labda ambako fyekeo badoKwenye jumua huwezi kukomesha wizi bali kupunguza (you can not stop stealing but control) mimi ni mudau wa kutengeneza simu sitaki kuzama zaidi kwenye hili kwakuwa litanighalimu
Mkuu una unlock Pantech?Iwashe ikiwa na laini ya simu tofauti.
Kisha angalia kama inakuletea kiboksi kinachotaka kuwekewa code.
Moja ya haya maelezo inatakiwa yawepo.
Network Unlock Code
SIM Unlock code
Enter SIM Me Lock
Enter NP Code
Please Input Network Pin
Service Provider unlock code
SIM network unlock pin
SIM Service provider unlock pin
SIM network unlock pin/NP Code
SIM network subset unlock pin
SIM service provider unlock pin
Network control key
Phone Lock Unblock Code
Je UK ilikuwa inatumia mtandao Upi?
PoleWakuu naombeni msaada, nina simu yangu Samsung Grand prime plus huwa inaji run yenyewe ..yani kwa mfano nikiandika text kabla sijamaliza ile text inajituma yenyewe. Huwa inasababishwa na nin? Naombeni msaada wakuu
Nmeshaenda kote huko, shida inakuja kwenye kuconnect na computer kuna app inabid niwe nayo …inauzwa $200, nilikwamia hapahabari
Ingia youtube kisha search GENERIC IMEI REPAIR SOLUTION"
Fuatisha maelekezo na utafanikiwa kurekebisha
Mkuu msaada wa unlocking modem model ZTE MF 671Kuna method mbili za kufanyia unlocking hii modem HUAWEI E153
- Temporary Method - Hapa utatumia Express unlocker |Unlock huawei e153,153u-2,153u-3 |
- Permanent Method - Hii inahitaji uelewa wa nini unachokifanya, vinginevyo waweza haribu kabisa modem isiweze kusoma network yeyote , Njia hii inahitaji internet connection ili kukamilisha procedures zote, hivyo waweza tumia modem ya pili aina tofauti mfano ZTE au tumia simu kama hotspot, Fuata maelekezo hapa | https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/500667-permanent-unlock-e153u-2-a.html |
- Hiyo njia ya pili hakikisha umesoma zaidi ya mara moja kabla ya kuanza kazi
Mkuu naomba unieleweshe mazala yakuweka imei number azalan?Natoa Tahadhali msiweke imei za simu zenu hadharani