Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Inaonekana wewe mgeni humu
Angalizo alilotoa nizuli Mr IQ

Mfano Kwa mwaka jana 2015, Watu wawili tofauti walitapeliwa kwa kutumia jina la Mwl.RCT

Mmoja wa matapeli alijifanya yeye ndiye Mwl.RCT na mwingine alijifanya kuwa katumwa na mimi. Hivyo wakajipatia pesa.

Ila mwisho wa siku victims (waliotapeliwa) wote wawili walikuja kubaini ukweli.

Angalizo kwa wana JF:
- Usifanye malipo yeyote kabla ya kuwasiliana nami kwa moja ya haya mawasiliano yangu
- Voda 0768 92 48 41
- TiGo 0717 54 57 62
- AirTel 0784 496 856
- Skype: mw1rct
- Whatsapp: +255 784 496 856
- eMail: mw1rct at gmail.com
- Au kwa JF PM
 
NCK: 4231 6353

Washa simu ikiwa na laini tofauti kisha ingiza hizo Codes.

Karibu
Mkuu asante sana, simu yangu baada ya kukupa IMEI na kunipa gharama yake kwa kweli kwa ss inatumia laini aina zote. Shukurani sana mungu akuuongoze ili wasiyo amini wakuamini kwa huduma yako. Pamoja sana
 
Mwl RTC vip kuhusu risk endapo code zitagoma na akazirudia zaid ya mara tano.?
Iwapo code zitagoma - Hii maana yake ni kuwa
1. IMEI namba iliyotolewa siyo sahihi
2. Au IMEI number imetolewa sahihi, ila katika kuweka kwenye database ndio makosa yanakuwa yamefanyika

Kawaida huwa kuna kuwa na unlock attempt zipatzo 10, Mfano wa simu za huawei. Huwa mteja anashauriwa aweke codes mara moja tu. iwapo kama imekataa basi atoe taarifa (feedback) ili kuangalia upya usahihi wa code au kupata ufafanuzi je simu yake inatoa ujumbe upi.

Kawaida huwa nakuwanazo codes nne (4) tofauti yaani:

NCK = SIM me lock(NP) = SIM network unlock PIN ( kwa simu inayosoma laini ya mtandao mmoja)
NSCK = SIM me lock(NS) = SIM network subnet unlock pin
SPCK = SIM me lock(SP) = SIM service provider unlock pin
RESET = SIM unblock reset key = SIMLOCK block unlock reset KEY (Kwa simu isiyosoma laini yeyote)

Asilimi 98 ya wanaotaka huduma huitaji NCK pekee na asilimia mbili hulazimika kupata RESER/SIMBLOCK code sambamba na NCK codes.

Haijawahi kutokea nikatoa codes zisizofanya kazi.
Sababu Huwa nahakiki IMEI namba kwa system mbili tofauti. Kabla ya kuitumia IMEI husika.

KARIBU
 
Naomba msaada wa kunlock simu ya Nokia 1110 itumie line zote
Ni ya airtel
Imei no . 359574017604365
 
Mkuu nisaidie jinsi ya kutoa adobe air kweny andoid phone
 
Je halotel H8401
 
Vipi kuhusu ku update android version mkuu
 
Na nokia ya tochi pia inatumia lain moja ya voda tu ukiweka lain nyingine inaandika insert sim card je inawezekana kuunlock
cc mwl.RCT
 
Na nokia ya tochi pia inatumia lain moja ya voda tu ukiweka lain nyingine inaandika insert sim card je inawezekana kuunlock
cc mwl.RCT
Kwa remotely service, Hapana haiwezekani. Rejea maelezo post #1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ