Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,239
- 1,884
Habari wana JF.
Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi.
Madaktari wametushauri mgonjwa wetu tumpeleke Hospital ya Muhimbili, Agha Khan au KCMC ili apatiwe huduma ya ST Scan ili kuona ukubwa wa tatizo na kupatiwa matibabu ya haraka.
Nilikuwa naomba msaada wenu wakuu kujua kama huduma hii ya ST Scan na matibabu naweza kuipata kule Ikonda Hospital na gharama zake pia zikoje?
Ahsanteni
Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi.
Madaktari wametushauri mgonjwa wetu tumpeleke Hospital ya Muhimbili, Agha Khan au KCMC ili apatiwe huduma ya ST Scan ili kuona ukubwa wa tatizo na kupatiwa matibabu ya haraka.
Nilikuwa naomba msaada wenu wakuu kujua kama huduma hii ya ST Scan na matibabu naweza kuipata kule Ikonda Hospital na gharama zake pia zikoje?
Ahsanteni