Mjomba hebu nijuze kidogo. Natumia laini tatu, tigo, voda na halotel. Niko chuo ndio ninakofanya kwahiyo huwa najiunga vifurushi vya chuo kupata GB 1. Nikijiunga tigo au voda week lazima iishe. Tatizo linakuja nikijiunga halotel, GB 1 inaisha siku mbili imedumu sana mbili na nusu. Kumbuka, nikiwa situmii MB Mara zote nazima data.View attachment 379118
Tuungane pamoja katika Ulimwengu Mpya wa Burudani katika huduma ya HALO REDIO!
-Piga 09 0122 0122 Ili Kujiunga Na Utapata Siku Moja BURE Ya Kutumia Huduma Hii
-Jiunge Na Klabu Ya HALO REDIO Kwa Burudani Mbalimbali
-Gharama Baada Ya Promosheni: Tsh 30/Siku
UTANGULIZI WA HUDUMA
HALO REDIO: Hii ni huduma ya kuvutia inayompa nafasi mteja wa HALOTEL kusikiliza redio mbalimbali duniani kote na kupata taarifa mbalimbali za habari burudani na michezo kutoka sehemu tofauti tofauti ulimwenguni kote, bila huitaji wa masafa ya FM/AM wala mawasiliano ya intaneti.
kupitia huduma hii mtumiaji ataweza kusikiliza miziki ya aina mbalimbali kama vile R&B, rock, pop, Rege na aina nyingine nyingi,pia kupata habari za matukio mbalimbali pia michezo duniani kote
Mtumiaji pia ataweza kuhifadhi chaneli anazozipendelea na kuzisikiliza tena baadae.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO REDIO
-Unaweza Kujiunga na huduma kwa:
-Njia ya IVR: Piga 09 0122 0122 ili kujiunga na huduma hii.
-Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 0122 kujiunga na huduma hii.
-Baada ya hapo piga 09 0122 0122 ili kutumia huduma.
GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi Cha Siku: Tsh 30/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dadika.
UNGANA NASI
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@HALOTEL.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
Hizo notification zenu haziji kwa wakati na hamna alert ya mteja kujua ni muda gani alitafutwa, mfano mimi nilitafutwa jana nikawa sipatikani, na baada ya muda mwenyewe nikawa nimempigia mtu huyo kabla hata sijapata "MCA" yenu, kisha naletewa hiyo "MCA" kesho yake na naamua kumpigia huyo mtu anasema hapana mimi nilikutafuta jana na mbona tulishaongea?View attachment 390457
Pata Mwezi Mmoja Buree Kwa Kusajili Huduma Ya MCA Na Utapokea Jumbe Za Simu Ulizokosa Pindi Simu Imezima Au Haina Mtandao.
Gharama Ya Kusajili Baada Ya Promosheni Ni: 150/Mwezi.
UTANGULIZI
MCA ni huduma inayo muwezesha mteja wa HALOTEL kupokea jumbe za simu alizokosa pindi simu ikiwa imezima au haina mtandao. Huduma hii husaidia wateja wa HALOTEL kuwa na mawasiliano muda wowote na mahali popote.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kusajili huduma: Tuma ON kwenda 15579 au piga *15579*1#
-Kusitisha huduma: Tuma OFF kwenda 15579 au piga *15579*0#
GHARAMA ZA HUDUMA
-Pata mwezi mmoja buree kujisajili kwenye huduma na utapokea jumbe ya simu ulizokosa pindi simu imezima au haina mtandao.
-Gharama ya kusajili huduma baada ya promosheni ni: Tsh 150/Mwezi.
JIUNGE NASI
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
Ndugu mteja ujumbe unaonesha muda.Hizo notification zenu haziji kwa wakati na hamna alert ya mteja kujua ni muda gani alitafutwa, mfano mimi nilitafutwa jana nikawa sipatikani, na baada ya muda mwenyewe nikawa nimempigia mtu huyo kabla hata sijapata "MCA" yenu, kisha naletewa hiyo "MCA" kesho yake na naamua kumpigia huyo mtu anasema hapana mimi nilikutafuta jana na mbona tulishaongea?
Sasa rekebisheni katika swala la muda na siku ambayo mtu ametafutwa na akawa hapatikani.
Mkuu naomba uyapitie tena maandiko yangu tafadhali, ni kweli ujumbe unaonesha MUDA, lakini si muda muda wa lini na saa ngapi nimetafutwa isipokuwa nitaoneshwa muda huu nilipokea si muda niliotafutwa.Ndugu mteja ujumbe unaonesha muda.
Modem tunauza kwa Tsh.35000 tumodem zenu mnauzaje
Modern vs ModemModern tunauza kwa Tsh.35000 tu