Huduma mbovu agakhan iringa

Huduma mbovu agakhan iringa

moto2012

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
2,303
Reaction score
1,530
Nimekuja kupata huduma ya matibabu yapata saa 2:30 asubuh, kandikishw mapokezi nimetuia zaidi ya nusu saa, nafika kwenye kumwona daktari kuna foleni ya wagonjwa zaidi ya 20 na daktari yupo mmoja, mabench ya kukaa hayatoshi, nimesimama zaidiya dk 40. bado naifikiria foleni ya maabara na pharmacy, halaf hakuna msimamiz wa hiki kituo anayejali, najuuta kuja hapa! nilidhan hapa ningepata huduma haraka na kuwah kaz zangu
 
i was once force to leave unattended after a long unpromising queue in that hospital!
 
Kweli Aga Khan Iringa kuna tatizo aise. Ukiwa kuta watu 5 mapokezi ujue itakuchukua nusu saa au zaidi ili uandikishwe. Lakini pia madaktari maranyingi huwa ni mmoja tu, na mbaya zaidi yupo very slow wakati watu wanasubiri huduma yake wapo nyomi. Wanahitaji kuboresha huduma zao ili wavutie wateja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom