Huduma kutambua kama una kizazi.

Huduma kutambua kama una kizazi.

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Watu wengi wamekuwa tatizo la uwezo wa kuzaa, hospital kipimo hiki kina gharama kubwa, kati ya 80,000 na laki 1 na bado si cha uhakika sana. Nimeamua kuja na njia mbadala, niandae sehemu maalamu na kuweka wanawake na wanaume waliothibitika kuzaa, basi kila mwenye tatizo atakuwa akipata doz mahususi, mimba ikishika basi inatolewa, je wazo hili laweza pata kibali toka katika mamraka za kiserekali?
 
"mamraka" za "kiserekali" hazitaruhusu hicho kitu.
 
we Jeki we ni mzaliwa wa Sudani? tz wafanya nn? rudi kwenu mchuuuu..............
 
Watu wengi wamekuwa tatizo la uwezo wa kuzaa, hospital kipimo hiki kina gharama kubwa, kati ya 80,000 na laki 1 na bado si cha uhakika sana. Nimeamua kuja na njia mbadala, niandae sehemu maalamu na kuweka wanawake na wanaume waliothibitika kuzaa, basi kila mwenye tatizo atakuwa akipata doz mahususi, mimba ikishika basi inatolewa, je wazo hili laweza pata kibali toka katika mamraka za kiserekali?

leo asubuhi ulioga lakin?
 
JEKI thead zako zinanifurahisha mara uombe kutajwatajwa kwenye threads mbalimbali kama Smile MziziMkavu na wengineo....
Mweeeeh mi nasubiria thread yako nyingine utakuja vp
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom