Hata voda wamebadilika 20000/- ilikuwa unapewa 5GB. Now mpaka uweke 25000/-. Kibongobongo tutafika kweli?![/QUOTE]
Hawa jamaa wanatuchinjia MAJINI.....Machozi yetu inakwenda na maji:A S 20:
airtel wez 2 bando linaisha kabla ya mda hata kama huja2mia wanakuachia dk na sms.AIRTEL MMABADILIKE BWANA
Airtel majanga tu mambo iko sasatel
Tumezoea huduma bora kwa airtel, lakin kuanzia juzi, huduma zao zimebadilika kimya kimya, ukienroll bundle ya Mb 75 kama tulivozoea unapata Mb 50, hiyo haikuwa shida sana kupandisha gharama, shida zaidi ni pale unapojiunga alafu bila kutumia hizo Mb na bila kufikia muda wake wa kuexpire zinaisha from no where! Inasikitisha sana cz tumeexperience hicho kitu toka juzi, na si mimi peke yangu.
Awali....naweza kupata sms 700, mb 175, na dakika 70 kwenda mitandao yoooooote kwa Tsh 1999 tu. Ila imebadilika faster...yaani ni dakika 60 siku hizi.
Unlimited kwa muda gani?
Tumezoea huduma bora kwa airtel, lakin kuanzia juzi, huduma zao zimebadilika kimya kimya, ukienroll bundle ya Mb 75 kama tulivozoea unapata Mb 50, hiyo haikuwa shida sana kupandisha gharama, shida zaidi ni pale unapojiunga alafu bila kutumia hizo Mb na bila kufikia muda wake wa kuexpire zinaisha from no where! Inasikitisha sana cz tumeexperience hicho kitu toka juzi, na si mimi peke yangu.