Huduma internet mtandao wa airtel ZINATISHA!!!!

Huduma internet mtandao wa airtel ZINATISHA!!!!

yan

New Member
Joined
May 22, 2013
Posts
1
Reaction score
1
Tumezoea huduma bora kwa airtel, lakin kuanzia juzi, huduma zao zimebadilika kimya kimya, ukienroll bundle ya Mb 75 kama tulivozoea unapata Mb 50, hiyo haikuwa shida sana kupandisha gharama, shida zaidi ni pale unapojiunga alafu bila kutumia hizo Mb na bila kufikia muda wake wa kuexpire zinaisha from no where! Inasikitisha sana cz tumeexperience hicho kitu toka juzi, na si mimi peke yangu.
 
Tumezoea huduma bora kwa airtel, lakin kuanzia juzi, huduma zao zimebadilika kimya kimya, ukienroll bundle ya Mb 75 kama tulivozoea unapata Mb 50, hiyo haikuwa shida sana kupandisha gharama, shida zaidi ni pale unapojiunga alafu bila kutumia hizo Mb na bila kufikia muda wake wa kuexpire zinaisha from no where! Inasikitisha sana cz tumeexperience hicho kitu toka juzi, na si mimi peke yangu.
kuna promosheni nyingine hujaijua, ukishwa weka vocha soma ile message itakayo display utaona namna ya kupata bando kwa bei rahisi kabisa ...jaribu
 
airtel wez 2 bando linaisha kabla ya mda hata kama huja2mia wanakuachia dk na sms.AIRTEL MMABADILIKE BWANA
 
Hata voda wamebadilika 20000/- ilikuwa unapewa 5GB. Now mpaka uweke 25000/-. Kibongobongo tutafika kweli?!
 
Bundle za airtel huwa ni za kijanja. Mtandao upo slow mpaka inaexpire unakuwa bado na salio. Nina modem ya airtel nilishaacha kuitumia. Kwa sasa naona voda iko vizuri zaidi
 
Nimeachana nao nimeenda ninakokujua !!
 
Halafu kama mmegundua saiv ile bundle ya daily ya yatosha ya 999 ina mb 250 tu wakati zilikua 400 dah
 
Ni kwel ukicheki salio dk na sms znasoma, lakin bundle linasoma 0bytes. cha kushangaza ukload na kuperuz net inasoma, hata kama salio la muda wa hewani ni zero!!
 
Hata voda wamebadilika 20000/- ilikuwa unapewa 5GB. Now mpaka uweke 25000/-. Kibongobongo tutafika kweli?!

Makamba kasema Uzembe wa Wabunge wetu, chanzo cha wanainchi maisha kuwa magumu.
 
jamani kuna kitu mimi sikielewi kuhusiana na hizi huduma za bundle na modem za haya makampuni . mfano kuna sehemu ukitumia modem fulani iko powa sehemu nyingine hata ukae mwezi modem inakusumbua sana mfano mzuri kigoma TTCL iko powa sana ila voda ni majanga na TIGO yaani sijui ni nini vile vile nasikia na aina ya modem inachangia maana humu wengine wanasema hii wengine ile basi ni mkanganyiko kwa kwenda mbele
 
jamani kuna kitu mimi sikielewi kuhusiana na hizi huduma za bundle na modem za haya makampuni . mfano kuna sehemu ukitumia modem fulani iko powa sehemu nyingine hata ukae mwezi modem inakusumbua sana mfano mzuri kigoma TTCL iko powa sana ila voda ni majanga na TIGO yaani sijui ni nini vile vile nasikia na aina ya modem inachangia maana humu wengine wanasema hii wengine ile basi ni mkanganyiko kwa kwenda mbele

Hiyo itakuwa ni uwezo wa modem pamoja na network!
 
Najuta kuhamia but sina namna kwani siwezi kutembea na simu mbili........Airtel Badilikeni
 
Awali....naweza kupata sms 700, mb 175, na dakika 70 kwenda mitandao yoooooote kwa Tsh 1999 tu. Ila imebadilika faster...yaani ni dakika 60 siku hizi.
 
Kingine kibaya kwa Airtel ni wakati ukijaribu kupiga simu na uambiwe number haipo. Ukijaribu mara kadhaa zaidi ndo apatikane
 
Back
Top Bottom