A
Anonymous
Guest
Kwa mujibu wa maelezo yao @ritatanzania kituo cha miito (CALL CENTER) inakuwa wazi kuanzia saa mbili asubuhi hadi sa 10 jioni, changamoto ni kwamba ukipiga simu ndani ya muda huo hawapokei, sometimes inaweza kuita then wanakata.
Maana ya kuweka baadhi ya huduma zao zifanyike kwa mtandao ni kusogeza huduma karibu na wananchi, lakini unakuta mtu amelipia huduma ya kusajili cheti kipya 20,000 lakini kinakaa zaidi ya miezi miwili acount status haibadiliki, unachukua uamuzi wa kupiga simu ili ujue changamoto ni nini hawapokei, unafunga safari kutoka kijijini kilomita nyingi hadi ofisi zao za wilaya, ukifika kule wanakupandishia mabega.
Changamoto zetu tutaziwasilishaje ikiwa call center inahuduma mbovu? @ritatanzania AU CHANGAMOTO HII NI MIMI TU, JE NA NYIE WATANZANIA WENZANGU MNAKUTANA NA CHANGAMOTO KAMA YANGU? TUKIPAZA SAUTI WANATUGWAJIMANIZE 😭
Hiki cheti kipya kina zaidi ya mwezi na wiki status ipo verified, nilishalipia 20,000 SINA KWA KUZIPELEKA CHANGAMOTO ZANGU ILI NIPATE MSAADA.
Namba ya huduma kwa Mteja 0800 117 482
Maana ya kuweka baadhi ya huduma zao zifanyike kwa mtandao ni kusogeza huduma karibu na wananchi, lakini unakuta mtu amelipia huduma ya kusajili cheti kipya 20,000 lakini kinakaa zaidi ya miezi miwili acount status haibadiliki, unachukua uamuzi wa kupiga simu ili ujue changamoto ni nini hawapokei, unafunga safari kutoka kijijini kilomita nyingi hadi ofisi zao za wilaya, ukifika kule wanakupandishia mabega.
Changamoto zetu tutaziwasilishaje ikiwa call center inahuduma mbovu? @ritatanzania AU CHANGAMOTO HII NI MIMI TU, JE NA NYIE WATANZANIA WENZANGU MNAKUTANA NA CHANGAMOTO KAMA YANGU? TUKIPAZA SAUTI WANATUGWAJIMANIZE 😭
Hiki cheti kipya kina zaidi ya mwezi na wiki status ipo verified, nilishalipia 20,000 SINA KWA KUZIPELEKA CHANGAMOTO ZANGU ILI NIPATE MSAADA.
Namba ya huduma kwa Mteja 0800 117 482
=======================
Malalamiko mengine ya Wananchi niliyaona kwenye ukurasa wake wa Instagram