Huduma bora kwa mifugo yako

Huduma bora kwa mifugo yako

mchau

Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
89
Reaction score
92
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo.

🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA:
✅ Uhimilishaji kwa nguruwe
✅ Matibabu ya wanyama
✅ Chanjo
✅ Upasuaji
✅ Ramani za mabanda
✅ Kutembelea mashamba
✅ Ushauri wa kitaalamu
✅ Huduma ya utoaji wa dawa za minyoo

Karibu sana.

MAWASILIANO:
📞 0674740836
📞 0792263640
 
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo.

🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA:
✅ Uhimilishaji kwa nguruwe
✅ Matibabu ya wanyama
✅ Chanjo
✅ Upasuaji
✅ Ramani za mabanda
✅ Kutembelea mashamba
✅ Ushauri wa kitaalamu
✅ Huduma ya utoaji wa dawa za minyoo

Karibu sana.

MAWASILIANO:
📞 0674740836
📞 0792263640
Hongera sana kwa majitoleo yako hii ni sehemu inasumbuwa sana wafugaji wengi hasa kwenye matibabu stahiki na dawa mahususi za magonjwa ya mifugo wetu hasa chanjo.
 
Hongera sana kwa majitoleo yako hii ni sehemu inasumbuwa sana wafugaji wengi hasa kwenye matibabu stahiki na dawa mahususi za magonjwa ya mifugo wetu hasa chanjo.
Asante sana ,karibu sana boss
 
Hongera sana kwa majitoleo yako hii ni sehemu inasumbuwa sana wafugaji wengi hasa kwenye matibabu stahiki na dawa mahususi za magonjwa ya mifugo wetu hasa chanjo.
Tunahitajika kutoa elimu nzuri na matibabu Bora kwa mifugo yetu .
Wafugaji karibu sana.
 
Kama Kuna wafugaji wanaohitaji yeyote ya mifugo unaweza kuniunganisha nae ila tuweze kusaidia mifugo yetu na uzalishaji pia
 
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo.

🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA:
✅ Uhimilishaji kwa nguruwe
✅ Matibabu ya wanyama
✅ Chanjo
✅ Upasuaji
✅ Ramani za mabanda
✅ Kutembelea mashamba
✅ Ushauri wa kitaalamu
✅ Huduma ya utoaji wa dawa za minyoo

Karibu sana.

MAWASILIANO:
📞 0674740836
📞 0792263640
Mchau nisaidie:

Ndama wangu nadhani anaumwa. manyoya yamesimama, anaonekana kuzubaa, tumbo kubwa . Anaweza kuwa na tatizo gani? nimpe dawa gani?
 
Mchau nisaidie:

Ndama wangu nadhani anaumwa. manyoya yamesimama, anaonekana kuzubaa, tumbo kubwa . Anaweza kuwa na tatizo gani? nimpe dawa gan
Kinyesi chake kipoje ?,na joto la mwili umemchechek ni ngapi? Ili niweze kukusaidia vizuri
 
Kinyesi chake kipoje ?,na joto la mwili umemchechek ni ngapi? Ili niweze kukusaidia vizuri
asante ngoja jioni nimkague vema akirudi. joto sina nana ya kumpima maana sina hata thermometer
 
Kinyesi kiko kawaida kijanish/greenish reflecting rangi ya majani
Naomba nipigie kawaida kupitia number 0674740836 ili tuweze kupata information zilizokamilika kutoka kwa ndama wako na kumpatia dawa sahihi kulingana na shida inayomsumbua
 
Naomba nipigie kawaida kupitia number 0674740836 ili tuweze kupata information zilizokamilika kutoka kwa ndama wako na kumpatia dawa sahihi kulingana na shida inayomsumbua
Sasa Mchau, hapa JF tuna- maintain anonymity, AND THIS IS VERY FUNDAMENTAL ON JF. unanipa mtihani mkubwa. I guess you can assist through this page without making phone calls! And all will be OK. ............UNLESS PAYMENT IS THE OBSTACLE!
 
Sasa Mchau, hapa JF tuna- maintain anonymity, AND THIS IS VERY FUNDAMENTAL ON JF. unanipa mtihani mkubwa. I guess you can assist through this page without making phone calls! And all will be OK. ............UNLESS PAYMENT IS THE OBSTACLE
Nimekuelewa boss ameanza lini hiyo Hali ya kuumwa kwa ndama huyo????
 
Nimekuelewa boss ameanza lini hiyo Hali ya kuumwa kwa ndama huyo????
some 2 or three weeks. Nilikuwa sipo kurudi naona hali si nzuri kama nilivyomuacha. ana mwaka 1
 
some 2 or three weeks. Nilikuwa sipo kurudi naona hali si nzuri kama nilivyomuacha. ana mwaka 1
Ahaaa ameonyesha dalili zake tumbo kuwa kubwa,manyoya yamesimama,amezubaa,Hali chakula vizuri, ????? Ndo hizo amezionesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom