Tumebarikiwa sana tunaoshuhudia vita hii ya kihistoria kwenye ulimwengu wa technology,
Ila leo nimeona kwenye blog fln hivi habari inasema eti "HongMeng OS (android alternative ya wachina inayotengenezwa na huawei) inazidi hii android ya Google speed kwa asilimia 60"
Sina uhakika ni hii habari japo inaweza kuwa kweli coz blog hio imeripoti kwamba "GLOBAL TIMES" ndo wametangaza hivo.
Cc
CHIEF MKWAWA